Makonda alindwe
Mwandamu yeyote anamazuri na mabaya,ndio maana kunamsemo wa kuwa, kila mtu anamapungufu yake,nimelazimika kuyasema haya kutokana na kinachoj...

http://cmasele.blogspot.com/2017/03/makonda-alindwe.html
Mwandamu yeyote anamazuri na mabaya,ndio maana kunamsemo wa kuwa, kila mtu anamapungufu yake,nimelazimika kuyasema haya kutokana na kinachojili kuhusu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ndugu Paulo Makonda ,anavyoandamwa kila kona
Katika hali hii ilivyo namuomba sana mh Rais John Pombe Magufuli,amlinde kiongozi huyu wa mkoa dhidi ya wale wanaomuandama hata kama yanayosemwa yatakuwa ya kweli , nimetangulia kusema kuwa hakuna mwanadamu mtimilifu,hivyo.
Mh Raisukiona mchawi anamwandama mwanao kumroga ujue anakulenga wewe wala hamaanishi anamchukia mwanao bali anachuki na wewe ,hivyo ameamua kumroga mwanao kwa lengo la kukukomoa wewe basi
Kwa maneno yangu haya machache ninashaka na hao wanaomuandama Paulo Makonda,kwamba shida yao ni makonda sidhani kabisa , hisia zangu ni kuwa wanalengo la kukuandama wewe kupitia mzunguko ,hisia zangu ukimfukuza makonda wataibuka na mwingine ,hawa hawapendi kuona unafanikiwa juu ya kutokomeza maovu nhini.
Makonda anamapungufu yake kwakuwa ni mwanadamu lakini upungufu wake ulinganishwe na kazi alizozifanya kwa muda mfupi .
Katika hali hii ilivyo namuomba sana mh Rais John Pombe Magufuli,amlinde kiongozi huyu wa mkoa dhidi ya wale wanaomuandama hata kama yanayosemwa yatakuwa ya kweli , nimetangulia kusema kuwa hakuna mwanadamu mtimilifu,hivyo.
Mh Raisukiona mchawi anamwandama mwanao kumroga ujue anakulenga wewe wala hamaanishi anamchukia mwanao bali anachuki na wewe ,hivyo ameamua kumroga mwanao kwa lengo la kukukomoa wewe basi
Kwa maneno yangu haya machache ninashaka na hao wanaomuandama Paulo Makonda,kwamba shida yao ni makonda sidhani kabisa , hisia zangu ni kuwa wanalengo la kukuandama wewe kupitia mzunguko ,hisia zangu ukimfukuza makonda wataibuka na mwingine ,hawa hawapendi kuona unafanikiwa juu ya kutokomeza maovu nhini.
Makonda anamapungufu yake kwakuwa ni mwanadamu lakini upungufu wake ulinganishwe na kazi alizozifanya kwa muda mfupi .