Fisi aua watoto
Fisi kutoka katika hifazi ya Ngorongoro kata ya Nainokanika, mkoa wa Arusha wamevamia boma la wamasai nakuua watoto wawili Akapuko Ngaruma(4...

http://cmasele.blogspot.com/2017/03/fisi-aua-watoto.html
Fisi kutoka katika hifazi ya Ngorongoro kata ya Nainokanika, mkoa wa Arusha wamevamia boma la wamasai nakuua watoto wawili Akapuko Ngaruma(4) na mdogo wake Esupati Ngaruma wa miezi tisa
Diwani wa kata hiyo bw Edward Maura ambaye ni mwenyekiti wa baraza la wafugaji wilaya ya Ngorongoro,amethibitisha tukio hilo, pia amesema kwa mujibu wa mila za kimasai mabaki ya miili ya watoto hao ilizikwa juzi.
Diwani wa kata hiyo bw Edward Maura ambaye ni mwenyekiti wa baraza la wafugaji wilaya ya Ngorongoro,amethibitisha tukio hilo, pia amesema kwa mujibu wa mila za kimasai mabaki ya miili ya watoto hao ilizikwa juzi.