madawa ya kulevya yateketezwe
Serikali imefanya kazi kubwa ya kupambana na madawa ya kulevya, tumeona kupitia runinga,kusikiliza radio,mitandao,kusoma kupitia magazeti,pa...

http://cmasele.blogspot.com/2017/03/madawa-ya-kulevya-yateketezwe.html
Serikali imefanya kazi kubwa ya kupambana na madawa ya kulevya, tumeona kupitia runinga,kusikiliza radio,mitandao,kusoma kupitia magazeti,pamoja na njia mbalimbali za mawasiliano,kwa kweli Serikali inasitahili pongezi.
Pamoja na hayo sasa ni wakati muafaka sisi wananchi kuona dawa hizo hatari zinateketezwa,nasema hivyo kwa sababu ya wasiwasi wangu kuwa, wanaotunza dawa hizo ni binadamu ambao kama kawaida wanadamu sio watimilifu hivyo Serikari iteketeze dawa hizo haramu zisije kurudi tena mitaani zoezi hilo liwe hadharani kama inavyo fanyika kwa siraha haramu.
Pamoja na hayo sasa ni wakati muafaka sisi wananchi kuona dawa hizo hatari zinateketezwa,nasema hivyo kwa sababu ya wasiwasi wangu kuwa, wanaotunza dawa hizo ni binadamu ambao kama kawaida wanadamu sio watimilifu hivyo Serikari iteketeze dawa hizo haramu zisije kurudi tena mitaani zoezi hilo liwe hadharani kama inavyo fanyika kwa siraha haramu.