Nhc wazindua uuzaji nyumba Dodoma
Shirika la nyumba Tanzania NHC limezindua uuzaji wa nyumba za makaazi katika eneo la Iyumbu mkoani Dodoma, uzinduzi huo unaenda sambamba na ...

http://cmasele.blogspot.com/2017/02/nhc-wazindua-uuzaji-nyumba-dodoma.html
Shirika la nyumba Tanzania NHC limezindua uuzaji wa nyumba za makaazi katika eneo la Iyumbu mkoani Dodoma, uzinduzi huo unaenda sambamba na maamuzi ya serikali ya awamu ya tano kuhakikisha serikari kuu inahamia Dodoma.
Pichani ni mkurugenzi mkuu wa shirika la nyumba la Taifa Nehemia Mchechu(katikati),kushoto ni mkurugenziwa mawasiliano na huduma kwa jamii Suzan Omar akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), kuhusu uzinduzi huo.
Pichani ni mkurugenzi mkuu wa shirika la nyumba la Taifa Nehemia Mchechu(katikati),kushoto ni mkurugenziwa mawasiliano na huduma kwa jamii Suzan Omar akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), kuhusu uzinduzi huo.