Kikongwe aanza la kwanza
Kikongwe wa miaka 75, mkaazi wa Kijiji cha Getenga ,kata ya Mbogi Wilaya ya Tarime,Mkoa Mara ameanza shule ya msingi darasa la kwanza katika...

http://cmasele.blogspot.com/2017/02/kikongwe-aanza-la-kwanza.html
Kikongwe wa miaka 75, mkaazi wa Kijiji cha Getenga ,kata ya Mbogi Wilaya ya Tarime,Mkoa Mara ameanza shule ya msingi darasa la kwanza katika shule ya msingi Makerero.
Mwaka jana alikuwa akisoma darasa la awali (chekechea), na alifanya vizuri jambo lililosababisha aandikishwe kuingia darasa la kwanza mwaka huu.
Kwa mujibu wa Mwalimu mkuu wa shule hiyo ndugu Riziki Focus alisema kuwa mzee huyo aliandikishwa baada ya kufunguliwa shule hiyo .
Mzee huyu alifanya vizuri sana mwaka jana katika darasa ya awali hivyo tukaona amekidhi viwango vya kuandikishwa darasa la kwanza alisema ndugu Focas.
Mwaka jana alikuwa akisoma darasa la awali (chekechea), na alifanya vizuri jambo lililosababisha aandikishwe kuingia darasa la kwanza mwaka huu.
Kwa mujibu wa Mwalimu mkuu wa shule hiyo ndugu Riziki Focus alisema kuwa mzee huyo aliandikishwa baada ya kufunguliwa shule hiyo .
Mzee huyu alifanya vizuri sana mwaka jana katika darasa ya awali hivyo tukaona amekidhi viwango vya kuandikishwa darasa la kwanza alisema ndugu Focas.