Pin It

Samaki toka China wakamatwa Mbeya

Samaki kutoka China tani  wamekamatwa Jijini Mbeya , imedaiwa wametokea katika bandari ya Dar es salaam kuelekea nchini Zambia, lakini katik...

Samaki kutoka China tani  wamekamatwa Jijini Mbeya , imedaiwa wametokea katika bandari ya Dar es salaam kuelekea nchini Zambia, lakini katika hali ya kushangaza  samaki hao walikutwa wakishushwa jijini hapo.

Kwa mujibu wa kaimu meneja wa wa mamlaka ya mapato mkoa wa Mbeya bw Demson Ngate amesema taarifa za kuwepo udanganyifu huo walizipata kutoka kwa vyombo vya dola ambavyo viliwapatia taarifa na kufanikisha kuwakamata

Related

News 7999955576460686676

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item