Sotoka yaangamiza wanyama
Ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni sotoka umeangamiza idadi kubwa ya wanyama pori na wanaofugwa Kwamujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka mkoani Arush...

http://cmasele.blogspot.com/2016/11/sotoka-yaangamiza-wanyama.html
Ugonjwa unaodhaniwa kuwa ni sotoka umeangamiza idadi kubwa ya wanyama pori na wanaofugwa
Kwamujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka mkoani Arusha vinaeleza kuwa ugonjwa huo umeibuka mkoani humo katika Wilaya ya Monduli, inadaiwa wanyama walioathirika zaidi ni nyumbu na swala kwa wanyamapori, kwa upande wa wanyama wanaofugwa ni kondoo na mbuzi.
Kwamujibu wa vyanzo mbalimbali kutoka mkoani Arusha vinaeleza kuwa ugonjwa huo umeibuka mkoani humo katika Wilaya ya Monduli, inadaiwa wanyama walioathirika zaidi ni nyumbu na swala kwa wanyamapori, kwa upande wa wanyama wanaofugwa ni kondoo na mbuzi.