Mwanamke afa kwa 'nabii'
Mwanamke aliyekuwa akijulikana kwa jina laLightness Kivuyo mkaazi wa unga limited jijini Arusha amefia kwa 'Nabii' Rajabu. Kwa muji...

http://cmasele.blogspot.com/2016/11/mwanamke-afa-kwa-nabii.html
Mwanamke aliyekuwa akijulikana kwa jina laLightness Kivuyo mkaazi wa unga limited jijini Arusha amefia kwa 'Nabii' Rajabu.
Kwa mujibu wa vyanzo vilivyopo jijini hapo mwanamke huyo alipelekwa kwa 'Nabii' huyo mmewe ili afanyiwe maombi ambayo bado hayajajurikana sababu zake.
Uongozi wa Hospitali ya mkoa huo Mount Meru kupitia kwa mganga mkuu Jacqueline Uriwo umethibitisha kupokea mwili wa mtu huyo akiwa ameshafariki.
Naopolisi mkoani Arusha kupitia kwa kamanda wa mkoa huo Charles Mkumbo wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo,na imewatia mbaroni mme wa mwanamke huyo pamoja na 'Nabii' huyo.
Kwa mujibu wa vyanzo vilivyopo jijini hapo mwanamke huyo alipelekwa kwa 'Nabii' huyo mmewe ili afanyiwe maombi ambayo bado hayajajurikana sababu zake.
Uongozi wa Hospitali ya mkoa huo Mount Meru kupitia kwa mganga mkuu Jacqueline Uriwo umethibitisha kupokea mwili wa mtu huyo akiwa ameshafariki.
Naopolisi mkoani Arusha kupitia kwa kamanda wa mkoa huo Charles Mkumbo wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo,na imewatia mbaroni mme wa mwanamke huyo pamoja na 'Nabii' huyo.