Umeme waleta kero Dar es salaam
Baadhi ya maeneo katika jiji la Dar es salaam yamekumbwa na tatitizo la kukatika umeme jana hadi leo. Taarifa kutoka katika maeneo mbalmbal...

http://cmasele.blogspot.com/2017/10/umeme-waleta-kero-dar-es-salaam.html
Baadhi ya maeneo katika jiji la Dar es salaam yamekumbwa na tatitizo la kukatika umeme jana hadi leo.
Taarifa kutoka katika maeneo mbalmbali zinaeleza kuwa tatizo hilo limekuwa likitokea mara kwa mar, hata hivyo siku za nyuma umeme ulikuwa unakatika kwa kipindi kifupi lakini jana tatizo limekuwa kubwa kwa sababu umeme huo umechukua muda