Pin It

Rais Magufuli amsifu mzee Mkapa

Rais Dk John Pombe Magufuli amemsifia, Na kumpongeza Rais mstaafu Mzee Benjamin Mkapa pamoja Na taasisi yake ya MKAPA foundation kwa kuenga ...

Rais Dk John Pombe Magufuli amemsifia, Na kumpongeza Rais mstaafu Mzee Benjamin Mkapa pamoja Na taasisi yake ya MKAPA foundation kwa kuenga nyumba said I ya mia NNE katika maeneo mbalimbali nchini.

Mh Rais dk Magufuli ameyasema hayo leo wakati  alipokuwa akikabidhiwa nyumba Kumi za watumishi wa afya zilizojengwa Na taasisi hiyo huko Chato katika mkoa wa Geita.

,,Mzee MKAPA ninakupongeza kwa juhudi kubwa unazozifanya kusaidia wananchi wanyonge kupitia taasisi yako, umejenga numb a nyingi sehemu mbalimbali za nchi, isitokee watu  wakadhani umeanzia kwa Magufuli, nazitaka taassi Nyingine ziige taasisi ya MKAPA alisema Rais Magufuli.

Related

Makala 8460553426118245484

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item