Pin It

Harusi ya kufana

Harusi kubwa ya kufana ilifanyika hivi karibuni baina ya Erick Nyamweru na  Lucia Yondani katika kanisa la Mtakatifu Antony Wa Patudua lilil...

Harusi kubwa ya kufana ilifanyika hivi karibuni baina ya Erick Nyamweru na  Lucia Yondani katika kanisa la Mtakatifu Antony Wa Patudua lililopo Mbagara Zakhem.

Bwana harusi no mfanyakazi wa kampuni ya magazeti ya Serikali ( TSN) Na bibi harusi ni mfanyabiashara,baada ya tukio la ndoa kanisani, ilifuatiwa Na where he kubwa katika ukumbi wa JKT Mgurani kurasini.

Related

Makala 7834230364602225954

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item