Pin It

Mh Rais bodi ya TRA

Mh Rais Dk John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya mapato Tanzania TRA bw Bernad Mchomvu. ...

Mh Rais Dk John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya mapato Tanzania TRA bw Bernad Mchomvu.

Taarifa iliyotolewa na kurugenzi ya habari Ikulu imeeleza kuwa pamoja na kutengua uteuzi wa mwenyekiti huyo Rais ameivunja pia bodi yote ya TRA, Pamoja na hayo mh Rais amemteua ndugu Charles Kichere kuwa naibu kamishina wa mamlaka hiyo.

Related

Siasa 3194352837974865045

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item