Pin It

Upigaji kura kenya

Shughuri ya upigaji kura nchini Kenya umefana kwa sababu hapakuwa na matukio ya uvunjivu wa amani. Taarifa kutoka katika maeneo mbalimbali ...

Shughuri ya upigaji kura nchini Kenya umefana kwa sababu hapakuwa na matukio ya uvunjivu wa amani.

Taarifa kutoka katika maeneo mbalimbali nchini humo zinasema zoezi hilo halikukumbwa na vurugu, vituo vilifunguliwa mapema saa kumi na mbili asubuhi ya leo na kufungwa jioni ya leo saa kumina mbili jioni.

Related

News 5882675102451548893

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item