Pin It

Waziri Mkuu usafirishaji chakula nje ya nchi.

Waziri Mkuu mh Kassim Majaliwa,amepiga marufuku usafirishaji wa chakula nje ya nchi,hii  ni kutokana na baadhi ya maeneo kutokupata chakula ...

Waziri Mkuu mh Kassim Majaliwa,amepiga marufuku usafirishaji wa chakula nje ya nchi,hii  ni kutokana na baadhi ya maeneo kutokupata chakula cha kutosha kutokana kuwa Na uhaba wa mvua.

Mh waziri  Mkuu ameonya kuwa yoyote atakakiuka agizo hill achukuliwe hatua Kali ikiwa no pamoja na kutaifisha chakula husika Na combo kilichohusika katika usafirishaji huo.

Vilevile mh waziri Mkuu amesema wale wrote wanaohusika Na mauaji katika mkoa wa pwani watapatikana wote , ametaka chekecho lifanyike ili kutokuwabana wasiohusika.

Related

Makala 3330793161830778469

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item