Ni Magufuri kila kona
Juhudi zinazofanywa na Rais Dk John Pombe Magufuli za kupambana na mafisadi zimesifiwa na kila mtu mpenda maendeleo ndani na nje ya nchi. T...

Juhudi zinazofanywa na Rais Dk John Pombe Magufuli za kupambana na mafisadi zimesifiwa na kila mtu mpenda maendeleo ndani na nje ya nchi.
Taarifa kutoka maeneo mbalimbali zinaonyesha with mbalimbali wamempongeza kwa kufanya mile Camacho with went I walihisi hakiwezekani, lakini kwa Maguuri kimewezekana.
Be Lukeresha Bushini wa Maswa mkoa a Simiyu amesema kuwa hakutarajia kuonamakampuni ya kinyonyaji kutoka katikamataifa makubwa yanazibitiwa Na kiongozi kutoka katika nchi changa kama Tanzania , kwa kweli Magufuri no Rais shujaa wa Taiga , leo hii ameweza kuzuia wasisafirishe mchanga wa dhahabu (makinikia).
Nae Sophia Mshumbuzi kutoka Bukoba mini amesema sasa sina shaka kabisa Na uongozi wa Magufuli kuwabana mabeberu so kazi ndogo, najua wabongo waliotuingiza kwenye mikata hii ya kifisadi hawana amani wanajua hawatabaki salama.
ZURFA Hassani wa Zanzibar amesema wale wrote walioshiriki katika mikataba ya kinyonyaji wafikishwe mahakamani, nashukuru mh Rais ameagiza kupitiwa upya kwa mikataba ya madini pamoja Na kupitiwa kwa sheria zinazohusu madi.JPM house alisema
Bw Joshua Molleli Agustino kutoka Arusha amefurahia hatua zinazofanywa Na Rais Dk Magufuli Na amemuahidi kula take 2020.