Pin It

Mahakama, leo kuapisha mawakili wapya

Leo MaHakama nchini inataraji kuongeza idadi ya mawakili, ambapo jaji mkuu anatarajiwa kuapisha mawakili watakao Huduma sehemu mbalimbali ka...

Leo MaHakama nchini inataraji kuongeza idadi ya mawakili, ambapo jaji mkuu anatarajiwa kuapisha mawakili watakao Huduma sehemu mbalimbali katika Tania hiyo ya sheria.

Toka asubuhi na mapema hivi leo kumekuwa na pilikapilika nyingi za mawakili watarajiwa wakiwa na ndugu zao pamoja rafiki zao, vilevile biashara ya mapambo haikubaki nyuma kwani wafanyabiashaira ya bidhaa hizo wamekuwepo toka mapema ya leo katika viwanja vya MaHakama Na kuzunguka Marne hayo kama wanavyoonekana katika picha.

Related

News 4539471874995688250

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item