Pin It

Mvua za bomoa barabara

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha ,katika maeneo mbalimbali nchini ,zimesababisha madhara kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na kuhalibu miundo...

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha ,katika maeneo mbalimbali nchini ,zimesababisha madhara kadha wa kadha, ikiwa ni pamoja na kuhalibu miundo mbinu, kuharibu bidhaa, mazao  pamoja na kukosesha makaazi baadhi ya watu.

Taarifa kutoka Tanga, zinaeleza kuwa mpaka sasa watu saba wamefariki kutokana na mvua hizo, barabara ya Tanga kuelekea Arusha imefunikwa na maporomoko ya udongo,na kusababisha mawasiliano  ya barabara baina ya mikoa hiyo kukoma.

Vilevile inaelezwa kuwa barabara ya Bukoba kwenda Mwanza imetitia katika eneo la Kemondo na kufanya  usafiri wa mikoa hiyo kuwa mubovu ,pia habari kutoka Zanzibar zinaeleza kuwa hali ni mbaya kwasababu baadhi ya barabara hazipitiki kutokana na kufunikwa na maji , isitishe baadhi ya shule zimefungwa kisiwani humo kutokana na kuzingirwa na maji

Hali ipo hivyo pia katika jiji la Dar es salaam  pamoja na morog

Related

News 3965826832648192156

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item