Pin It

Wanafunzi watakiwa kuzingatia masomo

Mbunge wa Kigamboni Dk Faustin Ndungulile amewataka wanafunzi washule mbalimbali kuzingatia masomo, kwani ni faida yao na Taifa kwa ujumla. ...

Mbunge wa Kigamboni Dk Faustin Ndungulile amewataka wanafunzi washule mbalimbali kuzingatia masomo, kwani ni faida yao na Taifa kwa ujumla.

Mbunge huyo alitoa wito huo jana kati viwanja vya ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kigamboni wakati alipokuwa akitoa tuzo mbalimbali kwa wanafunzi na shule zilizofanya vizuri katika Elimu.

"Mimi nimesoma katika shule hizihzi nimesoma katika shule ya msingi Ufukoni, leo hii ni mbunge wa jimbo hili, kumbe hata nyinyi mnaweza kuwa viongozi wa Taifa hili hapo baadae , cha msingi ni kufanya bidii katika masomo yenu " alisema dk Ndungulile.

Related

News 864885494034471238

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item