Pin It

Waziri Ummy akemea

Waziri wa Afya maendeleo ya jamii,jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu amekemea tabia ya baadhi ya Hospital,pamoja na vituo vya afya kutokuch...

Waziri wa Afya maendeleo ya jamii,jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu amekemea tabia ya baadhi ya Hospital,pamoja na vituo vya afya kutokuchanganya wagonjwa wa magonjwa tofautitofauti.

Kauli hiyo ameitoa hivi karibuni baada ya kuwepo taarifa kuwa baadhi ya taasisi hizo zimekuwa zikichanganya wagonjwa wa kawaida na kipindu pindu kitu ambacho nihatari kwa maisha ya wagonjwa wengine wenye magonjwa yasiyoambukiza.

Mh waziri Mwalim
u ametishia kuwachukulia hatua za kinidhamu wale wote wanaofanya hivyo kwa kisingizio cha kukwepa lawama za kuonekana kuwa wanazembea kupambana na kipindu pindu katika maeneo yao.

Related

Afya 277167136900818232

Post a Comment

emo-but-icon

Follow Us

Comments

Video ya Siku

item